Msanii Ben POL kushtakiwa kuiba nyimbo ya msanii wa amerika, na yeye kuita JIKUBALI

maskini kumbe tuzo zote kapata kwa kucopy yani kacopy kila kitu.......
Wengi sana hapa bongo huwa wanakata na kupachika bila hata kusema chanzo. Shame on them
 
ben pal atakunya cheche huyo
jamaa aje tu kumkamua wabongo hata hatumsaidi ben pal sana sana tutapiga
miluzi ya kushangilia kwa sana

Asaidiwe kivipi wakati ameiba kazi ya mtu?
 
Mi nilimfwata twitter nkamchana,jamaa akaona cjui kinamuuma akaenda ku-express insta cjui binadamu wana chuki… nkaona ananchosha tu nkamtupilia mbali
 
Huyu kijana ukimuona mpole , ila anawapiga sana pumbu vijana wadgo, hata Rio Paul kashampitia
 
hahahahaaaa!! kulaleki....! mwiziiiiiii!!!

nimeikumbuka sana tim ya black eyed peace (BEP) baada ya kumuona william...!

ila jamaa kajitahidi kwa kweli.. wimbo naupenda sana,... sana tu!

''anza sasa..... kutimiza malengo yako''
 
hahahahaaaa!! kulaleki....! mwiziiiiiii!!!

nimeikumbuka sana tim ya black eyed peace (BEP) baada ya kumuona william...!

ila jamaa kajitahidi kwa kweli.. wimbo naupenda sana,... sana tu!

''anza sasa..... kutimiza malengo yako''

Aisee mi napenda ile nyimbo yao ya boom boom BEP
 
Aisee mi napenda ile nyimbo yao ya boom boom BEP

aisee naikumbuka sana!! kitu cha bum bum pwaaa!!! bum bum pwaa!!

yule mdada aliimba vizuri sana..

yani huku william,

kule yuko rasi white,

hapa dada na lisuruali lake... mambo poooa kabisa.... burudaaaaani!!

 
Last edited by a moderator:
Nilitaka kushangaa pimbi kama ben pol kapata akili wapi ya kuandika nyimbo kama ile.sasa nimeamini

Hii kesi inataka kufanana na ile ya Wema, anapangishiwa nyumba na Clement (cjui alipewa, cjui alipangishiwa) afu anakuja anautangazia umma amenunua nyumba
ya Tsh. Million 400, anaita waandish wa habari na wasanii wenzake kuifungua nyumba yake ya thaman. Anapokea pongezi moto moto toka kila pande.

Hii haina tofaut na ya Ben Pol, anatoa wimbo mzuri, kila mtu anaupenda, anausifia na muukubali wimbo pamoja na mtunzi wake (Ben Pol) na tuzo watu wanampa, na sifa kedekede za mtunzi bora n.k

Km umekopy sema umekopy watu tuelewe sifa tutakupa tu wangapi tumewapa kwa kucopy huku huku mana ni uwezo nao co kila mtu anaweza kukopy, kama umepewa gari na Chief unasema tu nimepewa zawadi hatukatai ni jambo jema tu na co kutuambia nimenunua Tsh. Million 300

Uctake kupiwa sifa nyingiiiiii zote ww tu, tuambie umecopy au umepewa zawadi tukupe sifa zako unazostahili na zingine tumpe mtunzi au aliyekupa zawadi.

Kuteleza co kuanguka lkn, uwezo unao Ben Pol, watu wanasubir kazi zako, ongeza juhud km maishair ya huo wimbo yanavyosema.

Prove them wrong that u can do it yourself (to me you hv ord provet it), and that was just an accident.
 
Wengi sana hapa bongo huwa wanakata na kupachika bila hata kusema chanzo. Shame on them

Siyo wana-mziki tu hata wana-siasa wanaiba kazi za watu, wengine wamefikia hatua ya kukopi hotuba ya Obama!
 
Aisee hili jamaa ndo bure kabisa, si mnakumbuka hata ile ya TID nyota yako? Halafu ukute sasa DJ fetty yule wa radio ya wafu anavyompambaga Ben mie hoi, ndo maana salama huwa anayatupa kule makitu kama hizi kumbe huwa kanaona mbali
 
kama amekopi amefanya vizuri saana maaana mpaka wimbo unaanza kupotea masikioni mwa watu ndoo mnagundua amekopi , dogo mi namkubali safi sana Ben paul achana na wabongo we fanya yako
 
Shida sii kumfunika mwenye wimbo, shida ni kucopy kila kitu idea na melody, na kwanini hakusema kacopy mpaka alivyoshtukiwa?
amekopi kila kitu eee kwani huyo msanii wa mbele naye aliimba kiswahili??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…