Msanii Chemical anavyowaaibisha wanaume wa Dar

Mwanamke ana USO mzito kama askari WA Congo..bora niwe nakula kiboga cha James Delicious kuliko huyu mkaanga sumu!
 
Hivi ndio nani?nimekuwa nikiona post na picha zake kwenye page ya EATV,ana kipi haswa,au ndio anatafutiwa u'staa mjini?
 
Huuu Uzi umekaaa kishoga shoga. Jitu linakaaa mwananyamala kwa Mama Zakariaa, muda wote linaponda wanaume wa Dar.
 
Ngoja niwasaidie wanaume wa dar kuwajibia ni hivi kwa sura ya chemical huwezi disa coz tena akiwa anasikia maumivi ile sura inageuka kuwa zombie
 
Wanaume wa dar on map eti mwaume anakula kakiepe yai afu hakamalizi uwo si umama
 
Yeye ndio kajiaibisha kuna vitu sio vyakutangaza kwenye media
 
Huuu Uzi umekaaa kishoga shoga. Jitu linakaaa mwananyamala kwa Mama Zakariaa, muda wote linaponda wanaume wa Dar.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hivi mwanamke bikra atakubali kugegedwa na wanaume 2 kwa wakati mmoja. Huyu anaonesha ni porn starπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mwanaume wa Ileje hapa mkoan huku
Wanaume wa mkoa si muache kufuatilia wanaume wa dar, daily mnaponda lakini full kuwafuatilia na kuwaanzishia thread yani mnajua kila wafanyacho kuliko wake zenu hadi mmekuwa obssesed nao
 
Bikra za kichina hizo....yan kapigwa mande ndio bikra imetoka duh
 
umekurupuka
 
Chemical mwenyew kama dume Fulani hivi amizing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…