Msanii chidi Benzi kutunikiwa phd ya heshima katika muziki

Msanii chidi Benzi kutunikiwa phd ya heshima katika muziki

Je, ni muda muhafaka kwa msanii mkongwe wa muziki chidi Benz kutunukiwa PhD ya heshima ?


  • Total voters
    10
  • Poll closed .

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Kulingana na mchango wake mkubwa katika kuukuza muziki wa kizazi kipya napendekeza msanii mkongwe Chidi Benzi apatiwe PhD ya heshima sasa akiwa hai kama alivyopatiwa Babu Tale
 
Na mimi mnipe ya kuwa mpenzi mwaminifu
Nampenda babe wangu 🙃
 
Itakuwa ni utani kama atatangulia Chid kabla ya Kiroboto. Prof angethibitishwa tu, apewe na mihadhara pale UD, si kuna fani za Sanaa pale?

Jide naye apewe tu

Kwasasa, Ndoige izingatiwe kwakweli, inatangaza nchi.

Itapendeza zaidi tukiwatunuku na wale walioweza kuipiga nchi hii barabara...

Mwisho, wadanganyika wote pia tuzingatiwe, tumedumu kwenye uzuzu kwa kipindi kisichomithilika
 
Back
Top Bottom