Msanii darasa anatoka/amezaliwa mkoa gani?

Huyu jamaa ni mchochezi[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwa kumalizia tu Mjomba ake ni muisrael upande wa shangazi yake mzaa bibi na bidamu yake
 
We hautauona ufalme wa mbinguni
 
We hautauona ufalme wa mbinguni
 
Chotara duuhhh huu uongo wa hatar
 
Mshaanza ukabila na ukanda wenu watu wa mikoani...Darassa ni Mtanzania, Mzaliwa wa Tanzania...
hahah tulia wewe. Nyie wasanii wenu akina Man fongo, Sholo mwamba, Skide na kina Msaga sumu.
 
Hahahha we jamaa pumba wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…