RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,516
- 1,775
Wabongo washamba kweli, kwanza hiyo ndege sio jet injini bali propera, pia hii sio private jet, bali ni ndege ya abiria, Bombardier q300Duu huyu jamaaa kadri siku zinavyozidi kwenda ndo anazidi kufanya maajabuView attachment 953081
Acheni kukuza vitu,hiyo ndege imekodishwa inatumika kwenye matangazo ya Show ya Wasafi Kenya basi.Sehemu gani wameandika hivyo,mbona mnalisha maneno ambayo yeye mwenyewe hajayatamka,
Mkuu hata ww ukikodi jet unaweza kui-brand picha za kijijini kwenu...basi wanakijiji kule kwenu watasema unenunua Dreamline!!Duu huyu jamaaa kadri siku zinavyozidi kwenda ndo anazidi kufanya maajabuView attachment 953081
Kwani shilingi ngapi ashindwe kununuaAcheni kukuza vitu,hiyo ndege imekodishwa inatumika kwenye matangazo ya Show ya Wasafi Kenya basi.Sehemu gani wameandika hivyo,mbona mnalisha maneno ambayo yeye mwenyewe hajayatamka,
Sijui. Kwani wapi amesema au kuandika amenunua ndege.?Kwani shilingi ngapi ashindwe kununua
Mkuu wabongo wana akili fupi sanaAcheni kukuza vitu,hiyo ndege imekodishwa inatumika kwenye matangazo ya Show ya Wasafi Kenya basi.Sehemu gani wameandika hivyo,mbona mnalisha maneno ambayo yeye mwenyewe hajayatamka,
Siyo Jet, uliza laana kabla ya kuandika.Duu huyu jamaaa kadri siku zinavyozidi kwenda ndo anazidi kufanya maajabuView attachment 953081
Uwezo wa kununua hawana! Walipewa tu na wahu.n wenzaoKuna kile chama juzi kati wamenunua magari manne TU Ford
We umenunua nn wakati hata baiskeli hunaKuna kile chama juzi kati wamenunua magari manne TU Ford