Msanii Eric Omondi ahukumiwa kifungo cha siku 30

Msanii Eric Omondi ahukumiwa kifungo cha siku 30

Utajua ujui

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
268
Reaction score
894
KENYA: Mahakama imemhukumu Mchekeshaji, Eric Omondi na wenzake 15 kwenda jela kwa siku 30 baada ya kuwakuta na hatia ya kufanya mikusanyiko kinyume na Sheria

Licha ya Mahakama kutoa nafasi ya kukata Rufaa pamoja na chaguo la kulipa Faini ya takriban Tsh. 25,049,995 kwa kila Mshtakiwa, Eric Omondi amesema atatumikia Kifungo hicho Jela

Akiongea baada ya Hukumu, amesema "Nimehukumiwa kwenda Jela kwa Mwezi Mmoja pamoja na hawa Vijana kwasababu tulisimama kutetea Hali Ngumu za Wananchi na Gharama Kubwa za Maisha. Nitakaa Jela lakini naamini Kesho itakuwa Bora zaidi"

Soma Eric Omondi afungwa Jela kwa Kuandamana dhidi ya Serikali ya Ruto

#JamiiForums #SocialJustice #Democracy #Governance #DemocracyDay2023
 
Niko njaa hata siezi karanga
Hoehae shaghala bhaghala
Niko tayari kulipa kulipa gharama
Sitasimama maovu yakitawala
Sitasimama maovu yakitawala
Ufisadi ubinafsi ukabila
Kuuza sura hawataki kuuza sera
Undugu ni kufaana
Sitasimama maovu yakitawala
Siatasimama maovu yakitawala
Hard kuget wadhifa una deserve
Bila cash ama kashfa
Hii society kenye wanaeza
Share ni nyungu ya busa
Ama kettle ya shisha
Mfuko zinasikia echo
Utajua thamani ya mali na size ya kifuli eeiyoo
Hujaibiwa juu hauna ka kitu worth
Risking jail time police bullets for
Unaeza argue
Crime doesn't pay
Lakini huezi dismiss justice ina bei
Mwizi ana forty days
365 days later
Anaendelea ku grow fatter
Do anything for power
Ready to lose their heads for presidency
Bora waione kwa currency
Sababu gani siko affected na turbulance
Nikifly angani
Nimezoea the same feeling
Matatu zikipitia pothole
Mtaaani Juliaani Yeah Yeeeaaahh
Niko njaa hata siezi karanga
Hoehae shaghala bhaghala
Niko tayari kulipa kulipa gharama
Sitasimama maovu yakitawala
Sitasimama maovu yakitawala
Ufisadi ubinafsi ukabila
Kuuza sura hawataki kuuza sera
Undugu ni kufaana
Sitasimama maovu yakitawala
Siatasimama maovu yakitawala
Ndio wa raise funds
Itabidi u raise hands
Growing concerns
Breakfast za croissant
Hatutaki upunguze bei ya bidhaa
Tunataka opportunities ndio tu afford hizo bidhaa
Walisema kutembea kwingi ndio kuona mengi
Nimeshinda nikitembea ma ofisi na sijawai ona kazi
Siezi cheza golf venye Tiger would
Mambo si bara bara Ching Wu
Naomba journey mercies
Chakula ifike tumboni ikitoka kwa sahani
Policeman anapiga rungu mwalimu
Daktari anamrushia teargas
Na mtoto wake anarudishwa nyumbani hana school fees analipwa peanuts
Niko njaa hata siezi karanga
Hoehae shaghala bhaghala
Niko tayari kulipa kulipa gharama
Sitasimama maovu yakitawala
Sitasimama maovu yakitawala
Ufisadi ubinafsi ukabila
Kuuza sura hawataki kuuza sera
Undugu ni kufaana
Sitasimama maovu yakitawala
Siatasimama maovu yakitawala



Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Anajiandaa kumng'oa Felix Oduor (Jalang'o) wa Jimbo la Lang'ata. Hapo wananchi wanaona huyo jamaa mwanaharakati. 🙂 🙂🙂
 
Back
Top Bottom