Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Kila shabiki kuna namna alianza kupenda muziki na hatimaye akajikuta hawezi kutoka tena!
Mi nakumbuka kwenye 90s mzee wangu alikuwa na music system ambayo alitoka nayo Russia na alikuwa akiplay ngoma kama Kesi ya kanga na nyingine za kikongo, muda ullienda baadaye nikawa nasikiliza wasanii mbalimbali hasa RTD.
Muda ulienda na msanii aliyefanya mikapenda zaidi muziki ni Mr 2 aka Sugu, huyu nimesikiliza na kukariri karibia ngoma zake zote kila album, toka Nje ya bongo, ndani ya bongo, millenia mpka muziki na maisha.
Zile rnb na rap za early 2000 ni kama zilikuja kukoleza, kiss fm na American Top 40 kulikuwa nyumban, early 2010 nimekuja kuuelewa zaidi muzidi wa pop na country, miaka yote sijaeahi iacha bongo fleva.
Mpaka leo nimejikuta kitu muhimu kwenye maisha yangu ni music, mwaka huu pekee nimesikiliza nyimbo zaidi ya 6k za wasanii zaidi ya 2k. Kifupi nimekuwa muumini wa good music haijalishi ni genre gani!
Ebu tuambie kwako ilikuwaje ukawa chizi wa muziki?
Mi nakumbuka kwenye 90s mzee wangu alikuwa na music system ambayo alitoka nayo Russia na alikuwa akiplay ngoma kama Kesi ya kanga na nyingine za kikongo, muda ullienda baadaye nikawa nasikiliza wasanii mbalimbali hasa RTD.
Muda ulienda na msanii aliyefanya mikapenda zaidi muziki ni Mr 2 aka Sugu, huyu nimesikiliza na kukariri karibia ngoma zake zote kila album, toka Nje ya bongo, ndani ya bongo, millenia mpka muziki na maisha.
Zile rnb na rap za early 2000 ni kama zilikuja kukoleza, kiss fm na American Top 40 kulikuwa nyumban, early 2010 nimekuja kuuelewa zaidi muzidi wa pop na country, miaka yote sijaeahi iacha bongo fleva.
Mpaka leo nimejikuta kitu muhimu kwenye maisha yangu ni music, mwaka huu pekee nimesikiliza nyimbo zaidi ya 6k za wasanii zaidi ya 2k. Kifupi nimekuwa muumini wa good music haijalishi ni genre gani!
Ebu tuambie kwako ilikuwaje ukawa chizi wa muziki?