Fiesta hii itakuwa doro sababu ya beef zao za kipumbavu na WCB. WCB hawakwepiki wameitawala social networking na digital platforms kwa 80%, angalia instagram, fb, YouTube, boomplay nk zote zao na siku hizi radio na TV hazina nguvu upande wa promo na hata ukiangalia 70% hits zote tz ni za WCB na hata ukienda angalia ktk hizi website zinaoupload nyimbo eg kideboy, chart yote wametawala wao, YouTube views, kuanzia no 1 mpaka kumi zao so FIESTA 2018 itakuwa si ktk ubora ule uliozoeleka Diamond na WCB, wamewashika kubaya CMG hata kama hawata admit, wamemsababishia millard ayo views ktk acc yake ya YouTube zipungue kwani mda si mrefu GPL na Dizzim watampita.