Msanii gani kufunika fiesta 2018?

lets assume wasanii watajaa CMG ila kumbuka kuna wasanii wakubwa pia wataenda WCB na kwa hali ilivo sasa watu watajaa kwa WCB n CMG watazid kudharaulika
 
Fiesta saivi wanapata backup ya Tigo tuu,lakini matamasha hayajazi kama zamani.Nakumbuka kuna mwaka pale leaders walijifanya kuweka mitambo mipya (Wasanii waliperform wengine mitambo ikagomaaa,kilichofuatia ETI SHOW IKARUDIWA KESHO YAKE IKAWA FREE).Kuanzia hapo ndiyo wakaanza kutengeneza Wasanii kipindi cha Mpito Darassa,mara Aslay,mara Alikiba (kumdanganya Dogo Aslay eti apambane na WCB).Saivi hata Mikoani hatusubiri Fiesta pekee.Kuna Matamasha kibao yanafanyika sasa hivi (currently_Mzikimnene_EFM).Mimi nilikuwa MPENZI/MDAU MKUBWA WA FIESTA MARA YA MWISHO KUIFURAHIA NI ILE AMBAYO JUMA NATURE ALIPIGA SHOW YA KUFUNGA NA LILY KIM.
 
Wewe ni mmoja wa wahusika wa Fiesta?
[emoji23] [emoji23]
hapana aiseee
Nimeandika hivyo kwasababu Wengi humu ni kama mnawahakikishia wasanii kulipwa vizuri baada ya wasafi festival Hata kabla haijaanza!

Wengi wanasema clouds wanawapa promo baadhi ya wasanii ili wawatumie!
Jamani hivi nani hapendi faida kama unahisi nikimpa promo mtu flani ambae kwa kipindi hicho anafanya vizuri show itabamba?

Ni mtazamo tu lakini usichukulie personal sana mkuu
 
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kila nabii na zama zake.
Fiesta imeishiwa pumzi.sioni kipya kwa wasanii wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…