Msanii gani kufunika fiesta 2018?

Na hii inatufundisha kwamba mnyime mtoto hela ila usimnyime akili...
 

mambo yamebadilika endeleeni kuwa wabishi, kilichotokea moro jana ni mwanzo tu... kila umungu mtu una mwisho wake jifunzeni kama ni wakujifunza
 
mambo yamebadilika endeleeni kuwa wabishi, kilichotokea moro jana ni mwanzo tu... kila umungu mtu una mwisho wake jifunzeni kama ni wakujifunza
kilichofanyika Moro ni udhibitisho tu kuiwa CMG wataendelea kuwepo sana. Sijui Tanzania tuna tatuzo gani huwa hatuaminmi katika uwepo wa mafahari wengi, tunadhani kuwa ili mmoja afike at the top ni lazima mwingine aaanguke. sio lazima iwe hivyo. Sawa hata tukiwatoa CMG ni nani aliyedhibitisha kuwa na nguvu ya kuendesha matamasha kama walivyo CMG? Hao WCB wamefanya matamasha mangapi hadi sasa ambayo yanaonyesha uzoefu wao katika hilo? CMG bado wapo strong tena leo wapo fiti kuliko jana
 
"Tanzania tuna tatuzo gani huwa hatuaminmi katika uwepo wa mafahari wengi, tunadhani kuwa ili mmoja afike at the top ni lazima mwingine aaanguke. sio lazima iwe hivyo"
Waasisi wa hiyo style ni wao wenyewe CMG au umesahau walichomfanyia Majizo kipindi cha nyuma. Jamaa aliandaa tamasha ndani kulikuwa na, Joe Thomas, T- pain, busy signal nk akalipigia promo miezi miwili, CMG nao wakavizia bado wiki moja wakatangaza kumleta Eve na Fat Joe tarehe moja na tamasha la Majizo (Leaders club), huku la CMG likifanyika viwanja vya Posta. Majizo aliingia hasara kubwa mpaka akashindwa kuandaa tamasha miaka mengine. Hata haya matabaka ya wasanii yametengenezwa na CMG kwa hiyo what comes around, goes around.
 


Etiiii kwamba hiyo aibu ya moro ndio wameimalika zaidi ya jana? mkuu una roho ngumu sana. Tigo mwakani trend ikienda hivi sidhani kama watamwaga pesa zao kizembe, kweli malipo ni hapa hapa duniani.
 
Etiiii kwamba hiyo aibu ya moro ndio wameimalika zaidi ya jana? mkuu una roho ngumu sana. Tigo mwakani trend ikienda hivi sidhani kama watamwaga pesa zao kizembe, kweli malipo ni hapa hapa duniani.
Nyomi lilikuwa kama lote, ukibisha leta ushahidi wa picha tena iliyopigwa vertical
 
Nyomi lilikuwa kama lote, ukibisha leta ushahidi wa picha tena iliyopigwa vertical

kwa mara ya kwanza katika historia picha za fiesta ya jana hazijaachiwa mtandaoni zipo chache kwa millard na page yao ya clouds tv, na awajatoa picha za angani sababu zingewavua nguo. Lakini sio mbaya endeleeni kujipa moyo ila jahazi taratibu ndio linazama hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…