Msanii Harmonize aitikia wito wa RC Makonda, atimba Polisi kuhojiwa kuhusu matumizi ya madawa ya kulevya

Msanii Harmonize aitikia wito wa RC Makonda, atimba Polisi kuhojiwa kuhusu matumizi ya madawa ya kulevya

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize Jumatano hii majira ya saa 8:30 asubuhi ameripoti Polisi Central jijini Dar es salaam kwaajili ya kuhojiwa kuhusiana na matumizi ya dawa za kulevya.

Muimbaji huyo ameitikia wito wa RC Makonda, ambapo alimtaka akifika nchini achunguzwe kuhusiana na matumizi ya dawa za kulevya aina ya bangi baada ya kuonekana akivuta kitu chenye moshi mkubwa kinachodaiwa kuwa ni bangi
 
Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize Jumatano hii majira ya saa 8:30 asubuhi ameripoti Polisi Central jijini Dar es salaam kwaajili ya kuhojiwa kuhusiana na matumizi ya dawa za kulevya.

Muimbaji huyo ameitikia wito wa RC Makonda, ambapo alimtaka akifika nchini achunguzwe kuhusiana na matumizi ya dawa za kulevya aina ya bangi baada ya kuonekana akivuta kitu chenye moshi mkubwa kinachodaiwa kuwa ni bangi
Huyu Harmonize anatakiwa awe na wakili wa kumshauri kuwa hiyo amri iliyotolewa na Bashite ni batili na hakuna jinai yoyote aliyofanya na wala hapaswi kukubali kupimwa chochote kwasababu hakuna sheria inayoagiza ujinga huo wanaomfanyia kuchafua brandy name yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BASHITE anaona kayapatia maisha hakumbuki 2005-2015 habari ya mjini ilikuwa Riz1 na yeye 2020-kuendelea ATAPOTEA.
 
Ningekuwa me ndo konde. nisingeenda. Mtu anakosa kazi na kuanza kuhisi watu bila uhakika..
 
Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize Jumatano hii majira ya saa 8:30 asubuhi ameripoti Polisi Central jijini Dar es salaam kwaajili ya kuhojiwa kuhusiana na matumizi ya dawa za kulevya.

Muimbaji huyo ameitikia wito wa RC Makonda, ambapo alimtaka akifika nchini achunguzwe kuhusiana na matumizi ya dawa za kulevya aina ya bangi baada ya kuonekana akivuta kitu chenye moshi mkubwa kinachodaiwa kuwa ni bangi
Polisi wetu hawana kazi za kufanya? what is this nonsense?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Harmonize anatakiwa awe na wakili wa kumshauri kuwa hiyo amri iliyotolewa na Bashite ni batili na hakuna jinai yoyote aliyofanya na wala hapaswi kukubali kupimwa chochote kwasababu hakuna sheria inayoagiza ujinga huo wanaomfanyia kuchafua brandy name yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Gerry ni mwanasheria wao..sijui anafanya nini yule dogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni mimi nisingetii huo upuuzi, ningemuuliza kama aliunusa moshi kwenye screen na kuhakukisha ni bhange,
 
Sasa na wakuu wa mikoa wengine wakisema wamwitishe konde siitakuwa kizaazaa
 
Back
Top Bottom