Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,195
Hayawi sasa yamekuwa.. Yule msanii Mwenye Mwili kama Pipaa.. Anayejiita Jeshi, ila watanzania wakasema hapana, wewe ni Tembooo.. hatimae kesho atazindua rasmi Album yake ndani ya viwanja vya mlimani City..
Mliopata mwaliko msisite kutupa updates iyo kesho...
Mliopata mwaliko msisite kutupa updates iyo kesho...