Msanii Idris Sultan kupandishwa kizimbani, Mahakama ya Kisutu leo

Msanii Idris Sultan kupandishwa kizimbani, Mahakama ya Kisutu leo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kuna kila dalili kuwa yule mchekeshaji nguli Idris Sultan leo atapandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu

Tetesi hizo zimesikika katika viunga vya Central ambapo watu wa karibu wa Idris wamejichimbia kufualia " yajayo" au kifuatacho kama wanavyopenda kusema watangazaji wa luningani.

Tutajuzana zaidi

Demokrasia ina gharama zake
Maendeleo hayana vyama!
 
Alichokifanya kwa mfano kina uhusiano gani na demokrasia?
 
Si-hasa bhana zinaweza kukufanya si-hasa
 
Huyu ngoja wamnyooshe kwanza..
 
Amekuwa mtu wa kuropoka na kukejeli uongozi wa awamu hii mara nyingi. Ngoja wamuenyeshe kidogo atie adabu
 
Masikini Idriss ni sifa tu ndio zimemponza, Walikuwa wanamtafutia sababu tu.
 
Unamtafutiaje MTU kosa wakati unayajua makosa yake ya mwanzo sasa utamuhukumu kwa lipi?
 
Back
Top Bottom