Msanii JAGUAR aangua Kilio Kenya

Huyo wa goli la mkono si ndiye yule Nape Nnauye mlimtolea nje kwa bastola hadi akaenda kulialia, siasa bana, yeye alijitakia makuu baada ya kutaka kupambana na wadau wa Kolominje akaishia kupoteza uwaziri.
Ndo uyouyo kafilisika kisera tulimtumia afu tukamtupa
 
Hilo neno aliibuka nalo Nyerere na lilitokana na lugha ya Wazanaki. Pili kila binadamu ana tabia za kinyama maana sote wanyama.
Halafu vipi nyie mnaotafuna albino mna jina lipi.

 
Hii ni aibu kubwa sana , mje Tanzania tuwaonyeshe njia jinsi vijana tunavyofanya siasa na kuwashinda "vigogo"

Mjue mwanamuziki Jaguar

pengine alifikiri siasa ni mambo rahis rahis....hajui hawa vigogo ni wataalamu wa siasa...maybe he thinks ppl play clean politics.....politics is a dirty game...huezi kuja na koti nyeupe
 
pengine alifikiri siasa ni mambo rahis rahis....hajui hawa vigogo ni wataalamu wa siasa...maybe he thinks ppl play clean politics.....politics is a dirty game...huezi kuja na koti nyeupe

Kipindi nikiwa kijana, huyu Maina Kamanda aliwahi sababisha nibebe jiwe mjini Nairobi nikiwa na nia ya kumpiga nalo. Alicheza huu uhuni dhidi ya Jimnah Mbaru. Yaani back then we campaigned so hard for Jimnah till he got nomination certificate. But it emerged later he was given a fake one and Maina got the original through back door.

It's a game that Kamanda has practiced for a long time.
 
MK254 nikuulize swali? Mbona huyu Jimnah anataka kuvaa sare za nadharia siku zote maishani mwake, kwa nini asijaribu njia ya umaarufu pia, maanake siasa ni umaarufu. Kwani anadhani hizo suti za bei ndio itamfanya nini? Achafuke naye kiasi, ama unaonaje?
 

Hehehe!! Quickly Ndio siasa za mjini hizo mithili ya Kiafrika, ngware zinachezwa Ulaya sembuse sie kajamba wa dunia.
Nikiwa kijana nilijihusisha kwenye pilka za uanaharakati mjini, nilitunukiwa wadhifa ndani ya Bunge la Mwananchi pale bustani ya Jevanjee, nilipata fursa ya kuuvua ulimbukeni niliokua nao hapo awali, mtizamo wangu kisiasa ukabadilika, nikawa na uelewa wa ndani wa jinsi michezo ya ovyo huchezwa.

Kunao wabunge kadhaa ambao nilihusika katika kuwafanyia kampeni mimi na vijana wenzangu. Hamna jinsi unaweza ukaibuka mshindi na kutunukiwa uongozi bila kucheza michezo ya mjini, asikudanganye mtu. Hao wavaa suti na nadharia kibao wanaishia kuwadatisha wenzao kwenye maofisi, lakini lazima uingie kitaa, njoo kwa masela upewe mbinu na jinsi ya kufika pale.

Huwa nacheka nikimkumbuka gwiji wa lugha bwana Patrick Lumumba kipindi anagombea kiti cha ubunge cha Kamukunji, jamaa alikua kituko kushinda maelezo. Alikua ananasa hotuba zake kwenye kanda akiwa chumbani halafu anawapa jamaa fulani wazunguke kitaa wakizicheza kwenye kipaza sauti ndani ya gari halafu yeye anabaki ofisini....hehehe!!

Siasa za mjini zinahitaji mtu mwenye uvumilivu, mbishi, king'ang'anizi, mshindani, mjanja, mgomvi, jeuri, halafu lugha yako iwe ya kueleweka sio misamiati kibao na suti za ubabaishaji. Nilikua na nia ya kugombea ubunge juzi lakini shughuli zangu za kikazi zimenibana, siku hizi nasafiri sana.
 
Teh teh teh! Hilo la PLO imenichekesha wee!!! Naona waunde eneo bunge jipya ya kuwakilisha majamaa wa haiba yake, tusiwabague na wao,ni wakenya pia. Halafu ukumbuke kila siku baada ya kampeni ,vijana pia wana uraibu,uwashughulikie ipasavyo.Mimi hapa napanga kuona jinsi biashara ya tshirt itaweza nifaidi. Uchaguzi una uchumi wake maalum. Kama huna hela nani,usigombee.
 
MK254,
Bandiko lako # 30 hapo juu ni simulizi bora matata; hatari na hali halisi juu ya michezo michafu ya kisiasa inayo mhusu Maina Kamanda na hati feki kwa mpinzani wake Jimnah Mbaru.
 
MK254,
Bandiko lako # 30 hapo juu ni simulizi bora matata; hatari na hali halisi juu ya michezo michafu ya kisiasa inayo mhusu Maina Kamanda na hati feki kwa mpinzani wake Jimnah Mbaru.

Nilipoona dogo Jaguar anaangua kilio kisa Maina Kamanda kamchezea vya mbele kwa mbele, kumbukumbu zikanijia nilivyokua nimehamaki kwa ajili ya huyo huyo Kamanda. Jamaa bado yupo yupo tu anapeta na huo uhuni wake.
 
Jimnah Mbaru naona ndiyo hulka yake maana hata ktk mbio za ugavana kipindi kilichopita wakishindana na Gavana Kidero alikuwa na "muonekano" wa "CEO and Chairman wa Chase Manhattan Bank ya New York" wakati Nairobi kuna shida "mingi".
 
WATANZANIA TUNGEKUWA KAMA WAKENYA ADABU INGEPATIKANA NA MAENDELEO YANGEKUWA CHAP CHAP.

CCM WANAIPOKONYA CUF URAIS ZANZBAR WATU WANAANGALIA TU.
KENYA WANAKWENDA NA WEWE KUZIMU.


HILI NALO NENO!.....Upo sahihi mkuu!🙂
 
Jimnah Mbaru naona ndiyo hulka yake maana hata ktk mbio za ugavana kipindi kilichopita wakishindana na Gavana Kidero alikuwa na "muonekano" wa "CEO and Chairman wa Chase Manhattan Bank ya New York" wakati Nairobi kuna shida "mingi".

Ingelikua wakati ule Nairobi kuliishi wakazi wenye kazi ,tena za kiserikali pamoja na matajiri,wazungu na wahindi wengi, basi watu kama Jimnah wangelichaguliwa.
Leo hii Nairobi imevamiwa na kila Yahye,wahuni,wengi wao huingia mjini bila hata kujua wanakokwenda na watakavyojipatia mlo pamoja na mahitaji yao ya kila siku. Pia hawana elimu,shahada wala kazi na wanazidi kuzaana kwa wingi utadhani mashindano.Hawapangi uzazi kama wenzao wenye pato la kati.
Huishia mitaaa duni ya mabanda wengi wao wakigeuka na kuwa vibaka mjini.
Idadi ya watu hawa inawazidi wale wenye kazi zao pamoja na wenye kipato cha kati maradufu.
Ndiyo maana unawaona watu vituko kama Sonko wakichaguliwa eti vingozi.
 
Tim Choice,
Umeelezea vizuri hali ya jiji na county ya Nairobi ilivyo sasa kiuchumi, kijamii na kisiasa. Na wanasiasa wacheze vipi kisiasa kupata ushindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…