Msanii Jay Melody atumbuiza Comoro

Msanii Jay Melody atumbuiza Comoro

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Kazi na dawa! Ubalozi wa Tanzania Nchini Comoro umekuwa na wakati mzuri na msaanii Jay Melody ambaye ametumbuiza kwa onesho kabambe mwishoni mwa wiki kufuatia mualiko toka Taasisi za Sanaa Comoro. Mwanamuziki huyo ameweza kuvuta hisia za wacomoro wenyewe, Raia wa Tanzania na pia wa Madagascar tangu alipofika. Pichani ni mashabiki wakiselebuka alipotumbuiza
20240702_114739_InSave_8.jpg
20240702_114739_InSave_1.jpg


IMG-20240702-WA0033.jpg
 
Back
Top Bottom