Msanii JUX aonesha mjengo wake mpya!!

ndupa

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2008
Posts
4,403
Reaction score
148
Msanii wa mikato ya bongo fleva juma-jux,kupitia account yake ya mtandao wa kijamii uitwao instagram ameweka picha inayoonesha mjengo wake mpya...

Swali langu; kumbe siku hizi mziki wa bongo unalipa kiasi iki?
Picha iko hapa chini
 
sasa siyo mwakani tena anatuonyesha picha hii hii....ajitahidi mwakani awe amekamilisha kila kitu......
 
sasa siyo mwakani tena anatuonyesha picha hii hii....ajitahidi mwakani awe amekamilisha kila kitu......

nyumba ya mhindi kapewa tenda aisimamie ikikamiloka anapewa chake anasepa kawashika sana wajinga
 
sasa siyo mwakani tena anatuonyesha picha hii hii....ajitahidi mwakani awe amekamilisha kila kitu......

isije kua kama ile ya diamond mwaka wa 8 sasa inajengwa swimming pool
 
isije kua kama ile ya diamond mwaka wa 8 sasa inajengwa swimming pool

ndiyo hapo sasa.....ingawa ujenzi ni mgumu lakini ajitahidi asituletee picha hiyohiyo mwakani.....
 
Msanii wa mikato ya bongo fleva juma-jux,kupitia account yake ya mtandao wa kijamii uitwao instagram ameweka picha inayoonesha mjengo wake mpya...

Swali langu; kumbe siku hizi mziki wa bongo unalipa kiasi iki?
Picha iko hapa chini

Anamaanisha kuwa ana plans za kujenga mjengo kama huo, ila kwa sasa hana uwezo huo, so bado hana jengo hapo!...Wabongo bhana
 
Jux mbona hajasema hiyo nyumba ni yake au hamjaelewa hiyo caption? Najua wengi ni asante mkapa basi muwe mnatuuliza sisi tulopitaga english medium ili msije kuaibika.
 
Jux mbona hajasema hiyo nyumba ni yake au hamjaelewa hiyo caption? Najua wengi ni asante mkapa basi muwe mnatuuliza sisi tulopitaga english medium ili msije kuaibika.

sasa unasubiri nini kutafsiri? tusaidia basi.
 
For me after Mondi na Kiba there is JUX.
Yuko vizuri sana jamaa.
 
Jux akiwa na kiwanja tu cha hatua 30 kwa 20 na mie naanza kuimba bongo fleva achilia mbali hilo ghorofa aliliomba kupiga picha
 
mmh halafu this guy hez neva specific about biashara zake he claimz ni mziki na duku moja la nguo ....then kila cku kwenye interview yeye anasoma china miaka minne sasa haja graduate au anasomea udaktar hahaaaaa ni shidaaaa
 
Nyumba kubwa lakini amejenga km hotel, nyumba haijakaa kijanja hata kidogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…