Hahahaha! Kaolewa na ana watoto wawili wazuri wakiumekumbe anamtoto?
Akiba haiozi mkuuNgoja niwe na akiba ya maneno
KabiSaAkiba haiozi mkuu
SHE IS STILL AND SHE WOULD ALWAYS BE.Is still ni msanii huyu kwani? Mara ya mwisho kutoa wimbo ilikua lini?
Mama Wenger,fungua sasa hiyo akiba yakoNgoja niwe na akiba ya maneno
Hahahaha Wenger bado mdogo jamani weeeeeMama Wenger,fungua sasa hiyo akiba yako
How?Kapigwa chini tayari
Anatoa siri za kamati kuu ya ccm, wakaona isiwe tabuHow?
Alikuwa.... Kwa sasa basiMkuu Keisha amekua mjumbe wa Kamati Kuu,
Yaani kwa sasa Keisha ni miongoni mwa watu 24 wenye nguvu zaidi ndani ya CCM.