Msanii linah anapo okoka na kumrudia mungu kwa muda mchache..then anarejea kwenye vichupi

Msanii linah anapo okoka na kumrudia mungu kwa muda mchache..then anarejea kwenye vichupi

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
linah.jpg
KIMWANA ambaye hivi sasa yupo kwenye mahusiano na jamaa ambaye anayeishi nchini Marekani, Linah Sanga, amedai kuwa huwa anapoenda nyumbani kwa wazazi wake huwa navaa nguo ndefu tena za kilokole zaidi ili asije kuwaudhi wazazi wake ambao wamemkuza katika maisha hayo.

Msanii huyo anapenda kuishi kizungu baada ya kuigia kwenye muziki, ingawa anadai kuwa hawezi kusahau maisha ya kidini aliyokuwa anaishi awali ambayo yalikuwa yanamfanya avae nguo za heshima tofauti na sasa.

Linah alidai kuwa tangu alipoachana na wazazi wake maisha yake yamekuwa tofauti kwani muziki kwa upande fulani umebandilisha maisha yake, kuanzia kwenye mavazi tabia na hata lifestyle.

“Napozungumza tabia haimanishi nimekuwa muhuni hapana, bali awali nilikuwa sijuani na watu maarufu lakini sasa nimekuwa nao karibu na kuna baadhi ya vitabia nimekuwa navyo lakini si kwa ubaya,” alidai.

Msanii huyo aliongeza kuwa wazazi wake wamekuwa wakimsihi sana kuvaa nguo zile zile za zamani lakini haoni kama zina nafasi kwa sasa kutokana na career aliyoichagua.
 
She is not good @ bed
Sitaki maswali
 
She is not good @ bed
Sitaki maswali



yuko vzr sana kwenye doggy, kama ulimpeleka kizee zee naye atakua kakupeleka hivyo hivyo!.. kama una swali uliza nitakujibu bila wasiwasi nina hakika na ninachoandika!
 
umaarufu ni kwa mda tu mbona wengi tu vimeo waliwikaga awali sa hiv wako juu ya mawe tena mwanamke ukipata vitoto viwili tu unanuka maziwa nani atakutaka stejin na ulivyo kama mwala halafu hivi we lina una career gani yani hako ka spacio ndo career kweli fukara akipata ****** hulia mbwata!
 
Back
Top Bottom