Msanii Linex anayedaiwa deni Kibona Hotel awatukana Watangazaji wa SHILAWADU tusi hili....

Taita wa magogoni unamtukuza kama mungu kumbe acha atukamwe
 
Kipindi cha kimbea sana kile.....ukute kweli hao watangazaji ni was3nge.

Sent from my LG-F600K using JamiiForums mobile app
 
Reactions: Dyf
Kama hayo ndio waliyomhoji basi hiyo tabia aliyo ihoji Linex kwa shilawadu imesadifu!kumbuka hajawaita wangese bali amehoji kama hawa ni wangese? kutokana na matendo yao!
Niko pamoja na Linex kwa hili na nyie endeleeni kuwasapoti wangese na tabia zao za kingese ngese kupekua maisha ya watu kulikopitiliza pengine nanyi mmesadifu hoja ya Linex!

Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
 
Reactions: Dyf
Tangia uliponifumania ' nampakuwa ' kama App ' Mazeri ' wako tena 0713 umekuwa ukinichukia sana Mkuu. Siyo Kosa langu bali ' Bibie ' anapenda sana ' nikimtambalizia ' Mkuyenge wangu huko na Mimi bila ' hiyana ' huwa nampelekea wote hadi breki za P.
Hujisikii raha bila kutukania wenzio mama zao! Hii inashangaza sana na inaumiza mnoo,kwanini msitukanane wenyewe tu badala ya kumtaja mtu ambae hata kupita hapa jf hapiti,jirekebishe
 
Wakuu nimeangusha jero humu ataeiokota mnirudishie wakuu
Mnajua tena hali yasasa MLENDA SIO MBOGA NI LIFTI TU YA TONGE[emoji30]
 
yani kitendo kile cha kupekenyua na kuziadaa boxer zangu ni zaidi ya kutukana kumamayo,wao kutukanwa wasenge tu haitoshi,kama ningekuwa mimi ndio linex wangepewa matusi yale yote mapya ya awamu ya tano ya mh magu na yeye ayasikie akiwa na earphone masikioni.

lazima tulipe kodi
 
Sikuwahi kujua kuwa "rouge" ndiye mungu mtu mgawa riziki. Asante kwa kunijulisha.

Huyo nae anaham na ruge
Haon hata mapacha 3 na rubby,wanavyokula msoto

Triple A
 
Ata na nyie mnaleta useeee snaa kwa hao shilawadu wanashindwa kukata hlo neno la msanii linex au mmefanya fashion kuweka hewani....ata na nyie mnao saport kaka linex achukuliwe atua ni wasenge hvyo hvyo coz amjielew lakin kina lly wyne,50 cent wakitukanana kwenye vituo vyao huwA tunajiskia vizuli na linex kafanya vema kuwatukana

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nao wamezid hata kama kutafuta pesa..mwanaume na umbea ni ungese

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Sikuwahi kujua kuwa "rouge" ndiye mungu mtu mgawa riziki. Asante kwa kunijulisha.
Ruge co mgawa rizk kwa binadam
Wa kawaida mkuu n kwa wasanii tu

Katka wasanii wote waliotifuana na
Clouds na wakaendelea kutesa
Kama kawa bila kushuka kwa


Mzik wao n mwanadada jde comandoo
Pekeake,lakin hebu angalia hao wengne
Kinachowapata wanajua wenywe
Huko waliko

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Samahani naomba unitajie hao wengine waliotibuana na huyo jamaa Sam
 
".... bali pia inapendwa sana na Mheshimiwa Rais wetu wa JMT Dkt. Magufuli?"

Mkuu wewe si ulisema Rais wako ni Paul Kagame?? leo vipi unamtaja JPM kama rais wako ?inamaanisha wewe ni mkimbizi au ndio mambo ya ID fake zinaficha mengi yaliyotukuka...



BACK TO THE TOPIC: Linex alichofanya sio poa aisee
 
 
Nina wasiwasi na puru lako huenda umeshafyokolewa wewe, vipindi vya kindezi kama hivyo vina manufaa gani kwako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…