cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
sun ciro!
dah wapi huku siku nyingine tujivinjari?
LULU AKIWA CHAKARI BAADA YA KULEWA POMBE ZA MUHINDI
AVUA NGUO UKUMBINI (GLOBAL PUBLISHERS)
[
sina hata la kusema maana nilikua nawaomba wakaka wamuache "mtoto" akue lkn naona mtoto kakua hadi kunipita mie dada yake!
.....:A S-danger:hivi kwa nini waaruhusu WATOTO kuingia ktk sehemu za starehe usiku:A S-danger:
binti anatia aibu!!
binti anatia huruma!!
is this the begining of her end??
Ngoja niiweke kwenye ratiba yangu...sun ciro!
Na wazazi tuko wapi.......?
ngoja niiweke kwenye ratiba yangu...
Jamani mbona mi sielewi, dunia ndio inaisha au inaanza? mbona kama dunia inajizungusha katika mhimili wake ndivyo sivyo?
kimey?????
Hamna lakini sometimes-most of the times actually: wazazi tunazembea sana kuwaangalia watoto,watoto wa siku hizi wengi vichwa maji, hata mzazi umlee vipi, kudata mtindo mmoja, last week nilisikia watoto wa STD.7 katika shule moja wamekamatwa wanafanya engagement party darasani, kazi ipo.
girl .....u need a proper fitting bra and you need to work on that kitambi. :confused2:
hata mie naona inakwenda anticlockwise!