Hivi atatusaidia nini huyo............kwanza vyombo vya habari vinavyomwandika ndio anaona umaarufu,,,so wadogo zetu wa kike wakiona hivyo nao wataiga................kesha fanya kila uchafu huyo hawezi badilika............ana wazazi au ni mtoto wa mitaani..............tumtafute mzazi wake tumuhoji labda ndio anaemtuma mtoto akiweka mboga mezani anakuwa ndie baba anafanya anachotaka......tutaumiza vichwa bure kumbe yupo kazini analisha familia...................kila mtu anamaamuzi yake wazazi wake wamemchagulia /au yeye kajichagulia............wangapi masupa star wadogo kuliko yeye na mvuto kuliko yeye hawapo hivyo.....................