Hiki ndo nnachokupendea Mwalimu......hakuna kulalama kama wengine we unatoa ushauri tuu!! ivi tatizo la hiyo bra ni rangi ama?:violin:
Kamata hii hapa mwalimu kwa afya yangu.....bra haijalitendea kilichoko chini yake........badala ya kukionyesha kwa uzuri na ujazo wake uliopewa, limekigandamiza na kuwa out of shape :confused2:
sio silalamiki ................ukitaka kufanya kitu fanya kwa ukamilifu wake (kama kataka kuvua nguo mbele za watu, basi angalau awe amependeza)
Hiki ndo nnachokupendea Mwalimu......hakuna kulalama kama :violin:wengine we unatoa ushauri tuu!! ivi tatizo la hiyo bra ni rangi ama?
Inaelekea huo ukumbi una joto sna au alikuwa anatumia Konyagi!!:becky::becky:
LULU AKIWA CHAKARI BAADA YA KULEWA POMBE ZA MUHINDI
AVUA NGUO UKUMBINI (GLOBAL PUBLISHERS)
sina hata la kusema maana nilikua nawaomba wakaka wamuache "mtoto" akue lkn naona mtoto kakua hadi kunipita mie dada yake!
.....:A S-danger:hivi kwa nini waaruhusu WATOTO kuingia ktk sehemu za starehe usiku:A S-danger:
binti anatia aibu!!
binti anatia huruma!!
is this the begining of her end??
Bado kitambo kidogo sana tena kidogo sana mabinti zetu watatembea UCHI kabisa hasa nyakati za usiku. Sitaki kuamini kwamba huyu binti alitoka nyumbani kwa wazazi/walezi wake akiwa amevaa hivi na wakamwacha akazurule usiku kucha. Ee mwenyezi MUNGU tuepushie laana hii
hiyo klabu aliyoingia masharti ni kuacha nguo mlangoni/getini? Mbona kama hajaenda na nguo!
LULU AKIWA CHAKARI BAADA YA KULEWA POMBE ZA MUHINDI
AVUA NGUO UKUMBINI (GLOBAL PUBLISHERS)
sina hata la kusema maana nilikua nawaomba wakaka wamuache "mtoto" akue lkn naona mtoto kakua hadi kunipita mie dada yake!
.....:A S-danger:hivi kwa nini waaruhusu WATOTO kuingia ktk sehemu za starehe usiku:A S-danger:
binti anatia aibu!!
binti anatia huruma!!
is this the begining of her end??
LULU AKIWA CHAKARI BAADA YA KULEWA POMBE ZA MUHINDI
AVUA NGUO UKUMBINI (GLOBAL PUBLISHERS)
sina hata la kusema maana nilikua nawaomba wakaka wamuache "mtoto" akue lkn naona mtoto kakua hadi kunipita mie dada yake!
.....:A S-danger:hivi kwa nini waaruhusu WATOTO kuingia ktk sehemu za starehe usiku:A S-danger:
binti anatia aibu!!
binti anatia huruma!!
is this the begining of her end??
Jamani hapa ni Bilicanas sio San Ciro walianzia kulewa San Ciro wakaja Bilicanas,nilipoona kazidiwa na kilevi kama mwanamke nikamwambia nitakulipia taxi nenda nyumbani akakataa eti hajalewa baadaye wakamwokoa vijana flani sijui jirani zake kutoka mikononi mwa muhindi aliekuwa anamnunulia pombe aondoke nae.
Hapo hatuna mtoto ni changudoa mtarajiwa.
sun ciro!
Asante kwa maelezo Diana.Na alikuwa hapo peke yake tu yaani hakuwa na company ka rafiki hivi,dada au kaka?ni huyo mhindi tu?