Msanii LULU aomba radhi

Status
Not open for further replies.
huyu binti amekwisha habari yake. shetani kammaliza. Mungu amsaidie tu. anatakiwa kuacha kabisa hizo filamu atengeneza maisha yake kwa njia ya elimu ya darasani. la sivyo, ataolewa kwa mganga wa kienyeji kama alivyofanya mwenzie Nora.

Usihukumu ndugu utahukumiwa...shetani is at work of course lakini haimaanishi kuwa ni mshindi...Mungu wetu ni wa rehema,tumuombee huyu mtoto ili apitie toba ya kweli na kuishi maisha sahihi...
 
Kweli ule usemi asiyefunzwa na ***** ..........
 
Kama kakosa mie nshamsamehe.....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…