Msanii Lyyn anavyomlilia Mbwa

Wanawauwa mbwa wenyewe na fungas zao [emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]yani wanafia kwenye vinena sana
Hivi kumbe hizi tuhuma ni kweli!!🥺
 
Kwamba hao mbwa wanapendwa kwakua ni wanyonya K wazuri?

Unajua mtu kama Sepetu au huyu wa leo akija pale kijiweni kwangu akasema anataka anyonywe K ni wangapi watainuka kumfuata?

Mnaleta utani nini? Kunyonya K siyo big deal siku hizi kwamba inabidi ufanye kisiri siri na mbwa.

Uongo uongo tu
 
Me boss wangu mbwa wake alikuwa mpka anasoma wana day care yao alivyokufa waliweka msiba kwake eti wazungu wenzake wakawa wanaenda kumpa pole [emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanatuma flowers ofisini ya kumpa pole [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na kuna kumbukumbu ya Sasha every year na anatumia pesa nyingi sana kwa kumbukumbu tu [emoji1787][emoji1787]... Yani Hawa Wamarekani Huku Ni Wajinga Sana
 
Watoto wa kike wa miaka hii.... The more anakuwa aidha mrembo au ana mvuto... The more kichwani anakuwa hana akili na kukosa maono, hekima na busara ya kike.......

Miaka hii ukitaka kuoa tafuta mwanamke mwenye muonekano wa kawaida tu asie na mambo mengi utafurahia maisha. Maana it seems uzuri miaka hii umekuwa kama ni laana na mikosi kwa mtoto wa kike na si baraka tena....

Atapost upuuzi ili apate likes, atachanganya wanaume sababu kila anaekutana nae anamtaka, atakosa msimamo sababu anajua ana option ya kutumika kwa yoyote anemjia, atakosa utulivu kwa mume wake m'moja.... Etc

Dawa ni kutafuta mwanamke simple anaetoka familia bora na kujenga nae maisha bila pressure....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawauwa mbwa wenyewe na fungas zao [emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]yani wanafia kwenye vinena sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dah wanawake ni viumbe hatar mnoo na hawatakiwi kuaminiwa
 
[emoji3][emoji3]ichi kitoto bwana yani kwao ni bugurunu tena ni uswazi mnoo nakajua toka katoto tena kwako ni njaa kali mnoo eti leo kanamlilia mbwa [emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…