Msanii Macvoice na tuhuma ya utapeli kwa mwanafunzi

Msanii Macvoice na tuhuma ya utapeli kwa mwanafunzi

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
images (4).jpeg

Msanii wa Next level tuhuma za utapeli kwa mwanafunzi wa chuo kikuu kijitonyama|Dsm.
📌Habari kamili.
Na Hemedyjrjunior.
👇
Macvoice ni msanii tokea lebal ambayo inamilikiwa na Rayvanny au Vannyboy , ambayo inafahamika kama Next level inayopatikana Dar es salaam Tanzania.

Moja ya story ambazo zimesambaa kwenye vyombo vya habari ni kwamba Macvoice alimlaghai mtoto wa kike ambaye ni mwanafunzi wa chuo kikuu pale Kijitonyama

Story iko hivi.. Walianza kufahamiana kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram mwisho wa siku binti aliomba waonane ili aweze kuthibitisha kuwa aliyekuwa akichat nae ni Macvoice mwenyewe au laa". Mwisho wa siku wakaonana lakini binti anadai hakumuona vizuri kwa kumkariri maana Macvoice alinambia kuna sehemu anawahi na yuko na haraka sana.

Binti hakujali Mahusiano yakaendelea, kuna kipindi Macvoice alidai ana shida ya laki 2 na hana wa kumsaidia ila msaidizi pekee ni huyo mpenzi wake na wala sio mwingine.

Binti akampatia hiyo hela, mwisho wa siku akaunti ikabadilishwa jina mara mambo mengi ,
Macvoice akawa anapigiwa simu anapokea lakini kuhusu hela hampatii mwisho binti akaamua kwenda kushitaki

Japo bado issue inaendelea. Fuatilia mwendelezo
Story nzima iko YouTube

Chanel yangu Kimodomsafi
 
View attachment 2525291
Msanii wa Next level tuhuma za utapeli kwa mwanafunzi wa chuo kikuu kijitonyama|Dsm.
📌Habari kamili.
Na Hemedyjrjunior.
👇
Macvoice ni msanii tokea lebal ambayo inamilikiwa na Rayvanny au Vannyboy , ambayo inafahamika kama Next level inayopatikana Dar es salaam Tanzania.
Moja ya story ambazo zimesambaa kwenye vyombo vya habari ni kwamba macvoice alimlaghai mtoto wakike ambaye ni mwanafunzi wa chuo kikuu pale kijitonyama
... story iko hivi.. walianza kufamiana kupitia mtandao wa kijamii wa instagram mwisho wa siku binti aliomba waonane ili aweze kuthibitisha kuwa aliyekuwa akichat nae ni macvoice mwenyew au laa" .mwisho wa siku wakaonana lakini bint anadai akumuona vizuri kwa kumkarir maana Macvoice alinambia kuna sehemu anawahi na yuko na haraka sana. Binti hakujali Mahusiano yakaendelea kuna kipindi macvoice alidai anashida na ya laki 2 na hana wakumsaidia ila msaidizi pekee ni huyo mpenzi wake na wala sio mwingine.
Binti akampatia hiyo hela, mwisho wa siku akaunt ikabadilishwa jina mara mambo mengi ,
Macvoice akawa anapigiwa simu anapokea lakini kuhusu hela hampatii mwisho binti akaamua kwenda kushitaki . Japo bado issue inaendelea .fuatilia mwendelezo
Story nzima iko YouTube
Chanel yangu Kimodomsafi
Aibu sana
 
Tanzania label imebak moja tuu WCB , zingine ni vijiwe vya kugongea mademu, sjajua kuhusu king music na konde gang kama Wana ofsi
Kwahiyo na wewe unaamini hii habari ni kweli kwamba demu kakutana nae lakini hakumkariri na wakaendelea na mahusiano!?
 
Si kashoboka kwa msanii

Sawa sawa tu Acha aliwe na siajabu

Laki mbili kaliwa na tunda limeliwa

Ova
 
Dah... Afadhali hao mademu wanatuanaga sisi hardworker kama vinyago ...
Sasa kaliwa alafu kaliwa tena
 
Chuo kikuu cha Kijitonyama. Au ni lile tawi la UDSM pale Sayansi?

Udsm college ya ICT ipo kijitonyama sayansi

Udsm school of journalism and mass communication ipo kijitonyama


Wanafunzi wa hizo college wanaishi maeneo ya kijitonyama ili wawe karibu na chuo.

Unajua mpaka iringa kuna wanafunzi wa udsm zaidi ya 1000 wanaishi na kusomea iringa.

Hata zanzibar kuna wanafunzi wa udsm wanaishi na kusomea zanzibar

Hata mbeya kuna wanafunzi wa udsm wanaishi na kusomea mbeya
 
Huyo mwanafunzi atakuwa ametapeliwa na wajanja wa mitandao tu kupitia fake account, mtu atakuwa kaweka picha na profile info kama ya huyo dogo Mac Voice akajifanya ndiyo yeye.
Hayo ma fake accounts yako mengi tu mitandaoni na ni rahisi mtu kuingia kingi. Sidhani kama huyu dogo ana njaa hizo za kutapeli laki 2.
 
Habari za Hovyo sana hizi

Wanawake wataendelea kutapeliwa kwa ujinga wao
 
Binti aache umalaya unahonga 200k kisa macvoice
 
Back
Top Bottom