Changes boy
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 552
- 363
Kivip babuJapo kuponda kunatafsiri tofauti lakini sion ambayo inafit hapa
Kuponda kwa jinsi ulivyoandika heading ni kwamba labda ngoma ya Roma haina kiwango lakini hapo naona amelalamika tu siyo kupondaK
Kivip babu
Kaponda bonyeza link usome na uone videoKuponda kwa jinsi ulivyoandika heading ni kwamba labda ngoma ya Roma haina kiwango lakini hapo naona amelalamika tu siyo kuponda
Kweli naye ajilipueSasa kwenye ngoma ya Roma yeye inamuhusu vipi? Yani mwenzie kajilipua kaamsha dude afu yeye analeta stori za ki snitch...na yeye ni MC akajipange atoe ya kwake.
Ok, kwa hiyo baada ya kusikia ngoma wakaunganisha dot.....basi malalamiko ya jamaa yana make sense.kilichotokea ni iki Roma aliwazuia wenzake wasiongelee wala kusema ishu ya kutekwa kumbe Roma alikuwa kashapanga aje yeye pekee yke kutoa ngoma na kuongelea ishu yao iyo ya kutekwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Alitekwa nae pamoja soma zaidi hapa wakati anampondaSamahani wakuu huyo moni nae alitekwa pamoja na roma?