MwanaharakatiReal
Member
- Apr 20, 2021
- 26
- 30
Cha msingi awe na nidhamu,ajue nini anafanya kwani Darrasa amemuamini na kuamua kuweka hela yake kwake.So tunamtakia mwanzo mwema wa safari yake kimuziki.
Hahaha! Uwezo Anao Ki Aina Mkuu.. Mie Nimetazama Hii Video Clip [emoji117]Anaonekana mjinga mjinga
Wengi huwa wanadanganywa , wanapewa hesabu za ajabu ajabu af wanaambiwa mwanangu unaibiwa , unanyonywa ....Una fan base kubwa Sana , wakipewa na hesabu za wasanii wa marekani ndo kabisaaa na wao wanajaaa ..... Wanajikata , mwisho wa sku waliowadanganya wanawakimbia na wao wanaishia Kula ungaWengi Wanaanzaga Hivyo Nidhamu Nyingi Lakini Baadae Wanakujaga Kubadilikaga.. Sijui Wanafeli Wapi.. Lakini Huyu Uwezo Upo.. Nimebahatika Kutazama Video Clip Yake Nimeona Ana Kitu Ndani Yake.. Sasa Cha MSingi Asiwe Mzembe Tu..
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
nitamskia akisha heatHahaha! Uwezo Anao Ki Aina Mkuu.. Mie Nimetazama Hii Video Clip [emoji117]Nimeelewa Alicho Nacho
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Kabisa Huwaga Wanafeli Sana AiseeWengi huwa wanadanganywa , wanapewa hesabu za ajabu ajabu af wanaambiwa mwanangu unaibiwa , unanyonywa ....Una fan base kubwa Sana , wakipewa na hesabu za wasanii wa marekani ndo kabisaaa na wao wanajaaa ..... Wanajikata , mwisho wa sku waliowadanganya wanawakimbia na wao wanaishia Kula unga
Conglatulationnitamskia akisha heat
Hata harmonize alionekana hvo Tu mwanzonAnaonekana mjinga mjinga
Vipi atakuwa kwenye genge lipi??
Darassa CMG Anasema Miongoni Mwa Wasanii Wapya Ambao Wapo Kwenye Label Yake Na Hana Mashaka Na Uwezo Wake Ni Huyu Hapa.. Anasema Kua Bila Shaka Anaweza Kua Mrithi Wa Young Killer Au Kumzidi Kabisa Young Killer Kutokana Na Uwezo Wa Utunzi Wake.. Je? Maono Ya Darassa Yanaweza Kua Sahihi? Hebu Mtazame Kisha Toa Maono Yako Pia? [emoji116]
View attachment 1766206
Conglatulation
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Inaandikwa Congratulation ndio maana mdau kasema mnaonekana wajingawajinga
Kabisa.. Lakini Mwisho Wa Siku Waliomuita Mjinga Leo Sura Zao Wanazificha..Hata harmonize alionekana hvo Tu mwanzon
Kwani Darassa Yupo Kwenye Genge Lipi Mkuu?Vipi atakuwa kwenye genge lipi??
Wasafi,
Clouds,
EFM??
Vinginevyo hapati show, wala promotion maana hao ndio promoters na waandaaji wa show
Ndio maana yupo kama hayupo.Kwani Darassa Yupo Kwenye Genge Lipi Mkuu?
Hesabu za kilimo cha matikiti.Wengi huwa wanadanganywa , wanapewa hesabu za ajabu ajabu af wanaambiwa mwanangu unaibiwa , unanyonywa ....Una fan base kubwa Sana , wakipewa na hesabu za wasanii wa marekani ndo kabisaaa na wao wanajaaa ..... Wanajikata , mwisho wa sku waliowadanganya wanawakimbia na wao wanaishia Kula unga
Yaaaan na anaish vizur kuliko waoKabisa.. Lakini Mwisho Wa Siku Waliomuita Mjinga Leo Sura Zao Wanazificha..
Tumezoea KUKARIRINdio maana yupo kama hayupo.
Au na msanii wake naye atakuwa hivyo hivyo ??
[emoji848]Hesabu za kilimo cha matikiti.