Msanii Msaga Sumu anavyoimba Mwanaume ' mashine ' anamaanisha nini?

Mwanaume kujituma.

Mwanaume sio kabila.

Mwanaume kichwa cha familia.

Mwanaume kuwa mvumilivu.

Mwanaume kutafuta.

Mwanaume mashine.
 
Tatizo moja la wabongo ni kuwa na mawazo ya kingono ngono tu.
Mleta mada ni mmoja wapo, hatuwezi tukafikiria neno au jambo kwa maana nyingine isipokuwa ni kuihusisha na ngono.
 
Kaamua kuwafurahisha watanzania na kupata kiki ya maana, sababu nyimbo zenye maudhui kama hayo yanayokisiwa kuwemo kwenye nyimbo hiyo ndio zinateka attention kubwa ya wabongo.
 
Sasa hivi mwanaume ukii-diss tu hiyo nyimbo unaambiwa una kibamia
 
Na sisi vibamia tutaingia studio tutengeneze Goma letu "Mwanamke Mnato" ili tuende sawa. Shubaaaaaaaat!!!!! [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Kila dakika moja kwenye uhai wako ina maana kubwa sana....kwenye maisha yako.......kwa sababu muunganiko wa dakika unaunda masaa ambayo yanazaa siku.....na kupelekea kukamilika mwezi na hatimaye mwaka.....

Hivyo basi usikubai kuupoteza muda katika kujadili au kujihusisha na mambo yasiyo na tija kwenye maisha yako....ili usiwe miongoni mwa watu watakaokuja kujuta maishani mwao......

Wewe ndio nahodha wa jahazi la maisha yako....kwa maana umakini safarini na ustahimilivu wako kwenye kupambana na mawimbi makali...ndivyo vitakavyokufikisha pwani salama.......

Kujaza vitu visivyo na msingi kwenye maisha yako ni kuuchosha au kuupa ubongo wako kazi isiyo na manufaa........

WE BECOME WHAT WE THINK......

THINK BIG TAKE CONTROL OF YOUR DESTINY.......
 


Na wewe usikubali kupoteza muda kwa kuandika gazeti lote hilo. Toa comment fupi fupi kama kabanga
 
Mwanaume sio pesa, mwanaume sio unene wala wembamba ila mwanaume mashine....mue mnajiongeza
 

Foolish.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…