GIBA KB
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 367
- 110
Msanii wa Hiphop hapa Tanzania,Nikki wa pili amekemea vijana wote walihusika katika tukio la jana ambapo Waziri mkuu mstaafu Jaji Sinde Warioba alipigwa.Katika ukurasa wake wa Instagram,Nikki amewaita wapumbavu na watu wanarudisha nyuma maendeleo na amesema ni aibu kwa vijana kumpinga mtu anayepigania maslahi mapana ya Watanzania