Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Kunako Twitter huyu kashambuliwa kuvuka viwango vya kibinadamuKituko kingine, msikilizeni. Huyu si chawa bali Kibwengo cum Kupe!
Unamuonea bure maana kaambiwa nini cha kusema ili tonge liingie mdomoni. Hajui madhara ya kushabikia TOZO.Kituko kingine, msikilizeni. Huyu si chawa bali Kibwengo cum Kupe!
Pimbi wa Congo huyo....Kituko kingine, msikilizeni. Huyu si chawa bali Kibwengo cum Kupe!
Takataka kama hii ndiyo mtaji wa CCMKituko kingine, msikilizeni. Huyu si chawa bali Kibwengo cum Kupe!
Empty brains ni mtaji mkubwa sana wa CCM, bila hao hakuna kiumbe chenye akili timamu kinaweza kuishabikia CCM.empty brain na hapo ndio ccm ilipofikia kilichobaki 2025 lazima waende burundi na mwigulu wao yule dokta fake watake wasitake.