Msanii mwingine wa bongo movie (KASHI) afariki dunia!

RIP dada yetu. Naona kama kideri kimeingia
 
Dunia mapito....!
Tumkumbuke Muumba wetu siku ya ujana wetu.
Mungu akupumzishe kwa amani
 
RIP my classmate at Msinjahill primary school,you have gone too soon Jaji
 
Reactions: ram
Pole kwa wafiwa ingawaje ndio kwa mara ya kwanza nalisikia hili jina na kumuona muhusika mwenyewe

mmm... best kwenu toka enzi mlikuwa mnatumia ving'amuzi na madish nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…