johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
hao waliopendekezwa ni wachumba au ni makulumbembeMwanamuziki Nguli kutoka Kenya yuko nchini kwa ajili ya mapumziko lakini pia kutafuta mchumba.
Ameyasema hayo katika mahojiano yake na watangazaji wa Clouds tv Bebi Kabae na Ngoma.
Mtangazaji Ngoma amewapendekeza Hamisa Mabeto, Diva na Wema Sepetu kama wachumba wanaofaa.
Source Clouds 360!
Sasa ao wachumba[emoji28]Mwanamuziki Nguli kutoka Kenya yuko nchini kwa ajili ya mapumziko lakini pia kutafuta mchumba.
Ameyasema hayo katika mahojiano yake na watangazaji wa Clouds tv Bebi Kabae na Ngoma.
Mtangazaji Ngoma amewapendekeza Hamisa Mabeto, Diva na Wema Sepetu kama wachumba wanaofaa.
Source Clouds 360!
Unauliza au unatoa maoni?!hao waliopendekezwa ni wachumba au ni makulumbembe
Basi Hamisa!Clouds wawapendekeza Mabeto, wema sepetu na diva
We unaonaje?Unauliza au unatoa maoni?!
Mbona mnampendekezea takataka hizo...... Hao ni wanawake wa kumpa mgeni kweli mnataka tukachafuliwe jina ugenini tuonekane hatuna malezi mazuri kwa mabinti zetu!Mwanamuziki Nguli kutoka Kenya yuko nchini kwa ajili ya mapumziko lakini pia kutafuta mchumba.
Ameyasema hayo katika mahojiano yake na watangazaji wa Clouds tv Bebi Kabae na Ngoma.
Mtangazaji Ngoma amewapendekeza Hamisa Mabeto, Diva na Wema Sepetu kama wachumba wanaofaa.
Source Clouds 360!
Mwanamuziki Nguli kutoka Kenya yuko nchini kwa ajili ya mapumziko lakini pia kutafuta mchumba.
Ameyasema hayo katika mahojiano yake na watangazaji wa Clouds tv Bebi Kabae na Ngoma.
Mtangazaji Ngoma amewapendekeza Hamisa Mabeto, Diva na Wema Sepetu kama wachumba wanaofaa.
Source Clouds 360!