Msanii Papii Kocha Ajichora 'Tatoo' Ya JPM

Bullshiiiit. Akafie zake mbele huko. Mngestahili kushika njia ya kurudi kwenu baada ya kutoka jela, Sio kubakia kuuza aura bongo.
 
Hata Habujoary baba wa Ujinga kuna watu walikuwa wanampenda pamoja na ujinga wake.
 
Alaf naskia wanaenda kwao kidogo soon wakirudi wataelezea kinaga ubaga ila na doubt sijui kama watarud kwel
 
msimlaumu katoka jela haelewi nn kinaendelea...
 
Uraiani kuzuri bwana.Jamaa ametakata muda mfupi tu.
 
Mimi ninaona kafanya kutokana na yeye anavyoona maana katumia uhuru wake.... Ninampongeza kwa alichofanya!!!
 
Itikadi na uhenezi unamsubiri wkt wwte.
Kwenye taasisi yoyote ya serikali asitegemee,labda apelekwe kibiti akaishi msituni.

Simple math,tattoo ni ishara ya kukosa maadili,angeandika ya Wolper pengine angelipiwa mahari wakaoana[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Kwa hilo ni sahihi kamtoa mbali asee kwanza ndoto yake ilikata ghafla lkn leo hii Mzee Wa Vyuma Kukaza kamrudishia ndoto yake ni jambo la furaha ..
 
JPM kirefu chake ?
Jumer Pumba Maharage ?
Jamaa Penda Misifa ?
Hapana mkuu,ni yule jamaa mwenye kichwa kama umbo la Tangawizi ghafi.[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Huyo papii kaandika majina ya rafiki zake wa zamani jimmy chizi,msuya illo na yeye mwenyewe papii( J-jimmy,P-papii,M-Msuya)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…