The Tanzanian Singer introduced his baby mama in this awww-inspiring message
" Happy birthday to this beautiful girl of mine aka mama lolo, mama yake mtoto wangu ,mother house, mother kitambi, mother misosi ,mother manager ,mother kila kitu... since 2002 till now 2014 we still gandana like super glue.... utatudanganya nini..... I love u so much na I wish u happy birthday uzidi nizalia mitoto mizuri mizuri kama lolo nipige hela mimi za posa.... live long live long live long! "
Kwenye show ya tusker project fame5 au4 Msechu kwa kutumia tune ya 'mokolo nakokufa' aliimba 'Juliana nakupenda' akimzimikia mmojawapo wa majaji wa show hiyo. Shape ya Juliana inafanana sana na huyo mama motto wa Msechu. Bila shaka Msechu ni mpenzi mkubwa wa hizo shepu.