Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
hali ya uchumi ndiyo inamsababishia kuwa katika hali hii. Ngoja azikamate kisawa sawa muone!
khaaaaaf huyu jamaa huku nyuma hakuwahivi kazeeka ghafla walahi kunamziki wake kaimba na kidumunilishindwa kuelewa kama ni yeyempaka nilipoona jina yake lol
hali ya uchumi ndiyo inamsababishia kuwa katika hali hii. Ngoja azikamate kisawa sawa muone!
Si hiv hiv,,, utakuwa basi una matatizo ya kiakili mphamvu!si kweli.
Mimi nyumbani mabovu kishenzi, lakini huwezi kunikuta napika wala kuchota maji.