Msanii Rich one mbaroni kwa utapeli kwa kutumia jina la Ali Kiba

Msanii Rich one mbaroni kwa utapeli kwa kutumia jina la Ali Kiba

mtengwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
1,602
Reaction score
864
Msanii x-member wa kundi la Tmk wanaume halisi Rich One, anashikiliwa katika kituo cha polisi cha Msimbazi kwa kosa la kutumia jina la Ali kiba kuwatapeli mapromota mbali mbali.

Msanii huyo anadaiwa ku divert namba ya Ali Kiba na kupokea simu za mapromota mbali mbali na kukubaliana kufanya show na kupokea advance kwa kuwapa namba yake ya mpesa. Siku ya show promota anajikuta katika wakati mgumu baada ya kutokumuona Ali Kiba.
 
Akichezesha taya na watoto wa maghorofani aka mjengoni manager wa alikiba frank gonga aka frank machozi alisema kwamba wamemkamata msanii huyo kwa kutumia namba ya alikiba ku_book show na kutafuna mikwanja kwasasa yupo ubaoni akisubiri kupelekwa kwa pilato.
 
Huyu jamaa alishafulia siku nyingi sana!
 
Msanii x-member wa kundi la Tmk wanaume halisi Rich One, anashikiliwa katika kituo cha polisi cha Msimbazi kwa kosa la kutumia jina la Ali kiba kuwatapeli mapromota mbali mbali. Msanii huyo anadaiwa ku divert namba ya Ali Kiba na kupokea simu za mapromota mbali mbali na kukubaliana kufanya show na kupokea advance kwa kuwapa namba yake ya mpesa. Siku ya show promota anajikuta katika wakati mgumu baada ya kutokumuona Ali Kiba.

souce: clouds fm
 
si utani ni kweli mshkaj kapiag iyo issue, ivi hawa wanamziki hawapatagi kipato cha kuwatosha au tamaa tu?
 
Mapromota gani washamba hivyo waache wapigwe bwana..Wasanii walivyo wasumbufu unawalipa kwa Mpesa bila hata kuandikishana mkataba hivi watu wengine wanaishi dunia gani ?
 
Swali, vipi amedivert number za Ali Kiba, how is it possible?
 
Kama watu wana-burn CD halafu wanamuziki walalama,mbona nae kama ame-burn vile issue za mwenzake vile.
 
Msanii x-member wa kundi la
Tmk wanaume halisi Rich One, anashikiliwa katika kituo cha polisi cha
Msimbazi kwa kosa la kutumia jina la Ali kiba kuwatapeli mapromota mbali
mbali.

Msanii huyo anadaiwa ku divert namba ya Ali Kiba na kupokea simu za
mapromota mbali mbali na kukubaliana kufanya show na kupokea advance kwa
kuwapa namba yake ya mpesa. Siku ya show promota anajikuta katika
wakati mgumu baada ya kutokumuona Ali Kiba.

huyu ndie aliyem2kana mkubwa fela baada kutoka tmk pole zake ss akaimbe ile nyimbo yk 2napokuwa maskani masela ha2na ki2 sisiiii
 
​nampongeza sana mbona mapromota nao wanawanyonya kwa sana?
 
maisha yanabana-wasanii wanaringa wakiwa juu-then wakshuka hata hela ya maji wanakosa
 
Msanii x-member wa kundi la Tmk wanaume halisi Rich One, anashikiliwa katika kituo cha polisi cha Msimbazi kwa kosa la kutumia jina la Ali kiba kuwatapeli mapromota mbali mbali.

Msanii huyo anadaiwa ku divert namba ya Ali Kiba na kupokea simu za mapromota mbali mbali na kukubaliana kufanya show na kupokea advance kwa kuwapa namba yake ya mpesa. Siku ya show promota anajikuta katika wakati mgumu baada ya kutokumuona Ali Kiba.

Tanzania tulifanya kosa tangu tulipotengeneza jina la matapeli kuwa WASANII! Sasa wasanii wanganya usanii ule tulioutambua kama jina mbadala la usanii HALISI
 
Jamaa alikuwa anahojiwa na XXL Clouds FM leo
 
maisha ya wasanii nayo jamani....... full kuunga unga
 
huyo promota mjinga. hivi hakukua na maandalizi kabla ya show?. hamna kitu kama hicho.
 
Huyo Riche One ana ujanja wa kizamani huwezi kufanya utaperi kwa kutumia simu yako..njaa mbaya.
 
Back
Top Bottom