Mkuu we unasema tu huyajui maisha ukija kutegemewa na mke wako na ukoo wenu wote ndo utauvaa uhusika wa romaAtoke
Toka zake mnafikiki uyo,hana lolote anadanganya watanzania,Hakuna cha rap hapo ni taharabu tu,Kashindwa kusema alipelekwa wapi na kafanywa nini?kama kufa kupo tu hata usipokufa leo utakufa kesho.
Toa mfano wewe, ukatekwe ukae huko wiki, harafu uje utuambie nayeye atajifunza, inawezekana hajapata mwalimu, uwe wa kwanza basiaache upumbavu wake huko, tunachotaka kujua ni wapi alipelekwa, nani alihusika na sababu ni nini. haina haja kuficha kwa sababu aelewe kuwa dunia nzima inataka kujua ukweli. wakitekwa wengine tutaamua kukaa kimya tu maana hawataki kuwa wakweli. aseme ukweli ili kama wananchi tujue adui anayetuteka.
Yeye mwenyewe asiumize vichwaKwani waliomteka ni akina nani?
Lete Difender OhAachane na hiphop haiwezi aimbe gospel
Siku nawe ukitekwa utaelewa kwanini roma yupo hiviaache upumbavu wake huko, tunachotaka kujua ni wapi alipelekwa, nani alihusika na sababu ni nini. haina haja kuficha kwa sababu aelewe kuwa dunia nzima inataka kujua ukweli. wakitekwa wengine tutaamua kukaa kimya tu maana hawataki kuwa wakweli. aseme ukweli ili kama wananchi tujue adui anayetuteka.
Usifrahie tatizo la mwenzakoWamkague marinda kwanza
Ww ndo unaiweza hip hopAachane na hiphop haiwezi aimbe gospel