Msanii Sterio kapoteza ndugu zake kwenye ajali ya moto

Mungu ampe faraja katika kipindi kigumu kama hiki!
 
Waswahili bana, mwisho kabisa kaomba watu wasi-like!! But naona likes 35 hapo
Hakukuwa na sababu ya kuwazuia watu kutoa like au lah maana like maana like inaweza maanisha kushukuru kwa kupewa taarifa!
 
Huu ni msiba mkubwa sana kwa maeneo ya ukonga mzima... nawajua baadhi ya marehemu inasikitisha watu walivoungua. Mungu awarehemu
 
Hakukuwa na sababu ya kuwazuia watu kutoa like au lah maana like maana like inaweza maanisha kushukuru kwa kupewa taarifa!

Wasanii wengi ni zero brain,yeye akili yake anajua kwamba mtu akitoa like maana yake kwamba ni kweli wanalike,like inamaana nyingi,kuonyesha kwamba umeiona pia hiyo post na huna comment yeyote.
 
Umefika wakati wa kutathmini namna ya ujenzi wa nyumba zetu kwa ajili ya kuepuka ajali kama hizi mara zitokeapo..hasa kuweka nondo dirisha zima na milangoni ni jambo la hatari sana..hasa yanapotokea majanga kama haya ya moto...unaweza kukuta marehemu wamefia mlangoni au madirishani wakihangaika kuyavunja kuokoa roho zao...kwani mtu hawezi akawa anawaka moto tu kama kuni bila kufanya juhudi za kujiokoa...na hapo ndipo wanapokutana na mazingira magumu na kufa huku wakipambana...na roho zao....MUNGU AWALAZE MAHALA WANAPO STAHILI MAREHEMU....AMINA..
 
Wasanii wengi ni zero brain,yeye akili yake anajua kwamba mtu akitoa like maana yake kwamba ni kweli wanalike,like inamaana nyingi,kuonyesha kwamba umeiona pia hiyo post na huna comment yeyote.

daah hivi wale jamaa wa kundi la 0 brain wamefia wapi?
 
Wasanii wengi ni zero brain,yeye akili yake anajua kwamba mtu akitoa like maana yake kwamba ni kweli wanalike,like inamaana nyingi,kuonyesha kwamba umeiona pia hiyo post na huna comment yeyote.

Ben Pol hapo kaonyesha ukilaza wa hali ya juu. Anyway, pole sana "B BOY STERIO" aisee hilo ni jaribu kubwa sana, kuwapoteza ndugu wote hao kwa wakati mmoja ni disaster
 
Pole kwa msanii na familia Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
 
Stereo yupi jamani huyu ambaye amehitimu UCLAS 2014?
 
Waswahili bana, mwisho kabisa kaomba watu wasi-like!! But naona likes 35 hapo

likes ni ugonjwa wa taifa, mfano mtu anatangaza kufiwa na mama au baba, hizo like zitakavyogongwa unashindwa kuelewa.
 
Wasanii wengi ni zero brain,yeye akili yake anajua kwamba mtu akitoa like maana yake kwamba ni kweli wanalike,like inamaana nyingi,kuonyesha kwamba umeiona pia hiyo post na huna comment yeyote.

hiyo ni yafsiri yako, lakini mimi ninaelewa like maanake yake ni kwamba nimekipenda ulichoweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…