Msanii Sterio kapoteza ndugu zake kwenye ajali ya moto

Like ina maana kubwa but ni kwa muelewa an aweza kujua hilo.......
Pole sterio
 
hiyo ni yafsiri yako, lakini mimi ninaelewa like maanake yake ni kwamba nimekipenda ulichoweka.

Ndio maana mnadanganyana insta kwa kuweka picha huku mmegeuza makalio na misura ya kujichubua kama mke wa teves kwakua mnapata likes nyingi.
 
Ndio maana mnadanganyana insta kwa kuweka picha huku mmegeuza makalio na misura ya kujichubua kama mke wa teves kwakua mnapata likes nyingi.

na watu hawaweki picha insta kwa sababu nyingine yoyote zaidi ya likes na comments za kusifiwa, na ukitaka kublockiwa insta jaribu kushauri au kurekebisha akichopost mtu matusi yatakuishia na block juu, na ndio maana aliyeweka post ya kupoteza ndugu kwa moto ametoa tahadhari kabisa mtu asilike kwani anajua.
 

•Likes nyingi za Facebook na Instagram ni za kinafiki,we angalia yericko nyerere akiweka mada Facebook utasikia iweke pia na JF,wanajua wakiwa Facebook wanacomment kinafiki lakini wakiwa JF wanatoa makavu live.
•Ben pol ametoa tahadhari pasipo kuelewa na ye ni zero brain kama kina recho mtaka wazungu.
 

hahahaaa ki ukweli mimi binafsi huweka like kwenye post niliyoielewa na kuipenda, lakini waweza kuta kuna post kiuhalisia haiitaji likes kwa mfano post inadhalilisha utu wa mtu au kind of, unakuta likes kibao, mimi wakati mwingine nashindwa kuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…