Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Baada ya sakata la juzi kuingia la kuingia na jeneza uwanjani msanii tundaman amenyang'anywa kadi ya simba...na haikutosha mo dewji kamuambia asirudie kukanyaga ofisini kwake..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo nikipi?Baada ya sakata la juzi kuingia la kuingia na jeneza uwanjani msanii tundaman amenyang'anywa kadi ya simba...na haikutosha mo dewji kamuambia asirudie kukanyaga ofisini kwake..
Trust me broo..Chanzo nikipi?
Ni ya kweli haya?chanzo cha habari tafadhali kwa kweli alichemka!Baada ya sakata la juzi kuingia la kuingia na jeneza uwanjani msanii tundaman amenyang'anywa kadi ya simba...na haikutosha mo dewji kamuambia asirudie kukanyaga ofisini kwake..
Chanzo cha habari tafadhali,kweli jamaa alichemka!Ameambiwa na mo dewji asikanyage ofisini kwake..mo kamkatia waya tundaman
Kuweka msalaba wakati ni imani njema kwa wakristo pili jeneza ni uchuro kwa jamii nzima,maana watu wameenda kufurahi wewe unapeleka jeneza!Watu wanakumbuka mengi ya wapendwa wao!wewe unafurahi mpendwa wako akifa!!???Jibu ni hapana hata mchawi huzuga!Kwani huyo tundaman kakosea wapi?
Msalaba ni kuonesha ushindi.Kuweka msalaba wakati ni imani njema kwa wakristo pili jeneza ni uchuro kwa jamii nzima,maana watu wameenda kufurahi wewe unapeleka jeneza!Watu wanakumbuka mengi ya wapendwa wao!wewe unafurahi mpendwa wako akifa!!???Jibu ni hapana hata mchawi huzuga!
Vijana wanajisahau!Msalaba ni kuonesha ushindi.
Hilo jeneza sasa hapo ndo waliharibu
Hiyo kadi gani amenyanganywa? Simba wana kadi?Baada ya sakata la juzi kuingia la kuingia na jeneza uwanjani msanii tundaman amenyang'anywa kadi ya simba...na haikutosha mo dewji kamuambia asirudie kukanyaga ofisini kwake..
Umempatia kweli ili chizi😂
NimelikomeshaUmempatia kweli ili chizi😂
Hiyo ofisi ya Mo ndio inagawa pumzi?Ameambiwa na mo dewji asikanyage ofisini kwake..mo kamkatia waya tundaman
Tundaman aliuua uislam wake, akaingia kwenye jeneza, alipoinuka jenezani akawa Mkristo.Baada ya sakata la juzi kuingia la kuingia na jeneza uwanjani msanii tundaman amenyang'anywa kadi ya simba...na haikutosha mo dewji kamuambia asirudie kukanyaga ofisini kwake..