Elections 2010 Msanii utamjua tu!!

Peasant

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2007
Posts
3,949
Reaction score
698
Ndugu watanzania tukiwa tunaelekea uchaguzi mkuu ni vema tukatumia nafasi hii kuwachambua wagombea wetu ili kuangalia uwezo wao wa kiutendaji na sio uwezo wao wa kisanii. Kama picha zinavyoonyesha hapo chini, waweza kuona ni nani hasa kiongozi bora anayeongoza kwa mifano ya vitendo na uwajibikaji, na nani msanii tu mwenye malengo ya kuwahadaa wananchi bila ya uwajibikaji wowote zaidi ya kupiga debe tupu lisilo na tija.
Tutumie nafasi huu kuchagua kiongozi wa nchi mchapa kazi na sio msanii JK.
Chagua Slaa kwa manufaa ya nchi.





 
"Mzee wa kuanguka" akipewa hilo jiwe alilobeba Mzee Nyerere lazima limpeleke chini....LOL.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…