Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Hivi huyu ruge ndiye ceo wa efm na etv, east africa radio na eatv, magic fm, radio free africa na redio zote hapa tz?Ruge mungu anamuona
Mkuu cjaona msanii akawa na bifu na clouds akaendelea ku shine Kama zaman Fanya tafit lete mrejeshoHivi huyu ruge ndiye ceo wa efm na etv, east africa radio na eatv, magic fm, radio free africa na redio zote hapa tz?
Kama kambania clouds kwanini asisikike huko kwingine?
Sometimes mnamvisha u mungu mtu ambao hana ruge zilipendwa wa zamaradi jamani.
Sasa hapo tatizo ni clouds au tatizo ni media zilizobaki zinashindwa kuwakuza wasanii zinategemea kubeba wasanii waliokuzwa na clouds?Mkuu cjaona msanii akawa na bifu na clouds akaendelea ku shine Kama zaman Fanya tafit lete mrejesho
HahahaMfa maji...ila ni vizuri,anajaribu kupambana na hali iliyopo
Lady j dee mbona anapeta tuMkuu cjaona msanii akawa na bifu na clouds akaendelea ku shine Kama zaman Fanya tafit lete mrejesho
Ruby ndo huyo kwny picha amaMuimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa anaweza kufanya aina za muziki ila taarab ipo katika nafasi nzuri kwake kutokana yeye ni muimbaji pia.
“Off course I can sing taarab, hip hop pia naweza nikafanya lakini kwa sasa siwezi kwa sababu sipo katika mood ya kurap ila taarab naweza kwa sababu sauti yangu ni ya kuiamba muda wote, kurap siyo my talent but I can sit down and rap” amesema Ruby.
Ruby hajawahi kufanya kolabo na msanii yeyote wa taarab ila ameweza kufanya kolabo na rapper Wakazi pale alipomshirikisha katika remix ya ngoma yake ‘Sijutii’.
View attachment 616086
Chanzo; Bongo5
Lady JD?!! Nan kasema, km hii nyimbo yake ya mwisho mbovu kinoma yaan sijui nan kamshaur arap mana km anaimba ngonjera tuLady j dee mbona anapeta tu