Msanii mkubwa maarufu mwenye jina katika bongo fleva O-ten ametuhumiwa kuiba simu alipokuwa kwenye show Geita amehojiwa mchana huu katika redio makini clouds fm amekiri kuchukua simu hiyo nokia tochi iliyokuwa ya dada wa gesti kwa madai kuwa hajalipwa na promota.na amedai kuwa hata wakienda polisi atawashinda kesi
Msanii mkubwa maarufu mwenye jina katika bongo fleva O-ten ametuhumiwa kuiba simu alipokuwa kwenye show Geita amehojiwa mchana huu katika redio makini clouds fm amekiri kuchukua simu hiyo nokia tochi iliyokuwa ya dada wa gesti kwa madai kuwa hajalipwa na promota.na amedai kuwa hata wakienda polisi atawashinda kesi
We kiazi nn nokia tochi na siyo bb tourch mhudumu gesti wilaya Geita anatokana wp na bb tourch!!