Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 448
Hebu nichekiii ninavyong'aaaraaa X2 nicheki nipo masaki na watoto wa kishua ,,,nicheki nina mapene kibao,magari na warembo kibao,,,, dah mbwembwe zote hizi kumbe jizi la kisimu cha nokia ya tochi!!
Jamaa alikuwa akiongea kama anabana pua hv maana yake nn?!!
Kwani huwa wanalipwa kiasi gani kwenye onyesho kama hilo?
Labda hakulipwa kiasi alichotaka so akaamuwa kujazia na hiyo tochi?
Otherwise kama ni kweli hajalipwa, basi promota akisema ngoma droo atakubali?
Duh!
mbavu zangu mie hee heeee....We kiazi nn nokia tochi na siyo bb tourch mhudumu gesti wilaya Geita anatokana wp na bb tourch!!
Hebu nichekiii ninavyong'aaaraaa X2 nicheki nipo masaki na watoto wa kishua ,,,nicheki nina mapene kibao,magari na warembo kibao,,,, dah mbwembwe zote hizi kumbe jizi la kisimu cha nokia ya tochi!!
labda ana ukoo na david cameroon! huwezi kujua!