kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
Eti wanasema ni pale......Tatizo nini
Pale kati patamuEti wanasema ni pale......
Sasa ndugu ulishawahi kusikia nyimbo yoyote ya bongo fleva isiyoimba upuuzi ikifanya vyema ktk soko? Muziki ni sanaa, ukitaka kuelimisha jamii au kuipotosha unaweza, sawa polisi kutumia bunduki kulinda amani na JAMBAZI kuitumia kupoteza amani.Huyu jamaa ni mjinga na mpuuzi sana sijui kwanini serikali haitaki kumfungia kufanya music, anachoimba sijui ni kitu gani
Pale kati wala hapahitaji matangazo unaenda mwenyewe tu mwili ukiamuaSawa, lakini msitangaze mpaka Watoto nao wakimbilie hapo.