Duuh..kaka huu mzigo hata mie jana nimeugumia kwenye kideo cha bongo muviz mitaa ya east africa tv..ni noumaaa. Umejinyea huo..umesimamia kucha mpaka nikajikuta nakatiza usingizi nimpige chabo...weka full pics chief uone hilo banda la uani plus usafiri...aibuuuu.
Nijuavyo mimi ni mama watoto wa steve nyerere na wanaishi wote mitaa ya kinondoniNdo nani huyo
WELLU SENGO ndo muigizaji mwenye mvuto zaidi bongo movie,,,,,
Hakuna anayemkaribia kwa lolote lile,,,,!!!!
Yupo mzee baba anapatikana kwenye tamthiliya ya REBECCA na yeye ndio rebecca mwenyewe ,Hivi huyu mrembo wa Bongo movie amepotelea wapi?
Stiv kumbe nae anakula vitu vizur namna hii?Nijuavyo mimi ni mama watoto wa steve nyerere na wanaishi wote mitaa ya kinondoni
Aisee ndio matdhara ya kuzarau chennels mi niko bize na Nat geo na chenel za Supersport tu. Ngj niturn nimechek mtoto mzuri balsa sana huyu. Amejaaliwa Kwakweli Waweza dindosha uderere kabisaa[emoji23][emoji23][emoji23]Yupo mzee baba anapatikana kwenye tamthiliya ya REBECCA na yeye ndio rebecca mwenyewe ,
Chaneli ya Maisha magic bongo -160 - on DSTV
Prado
Mm mtu akishakuwa na choo hata kama sura ka kibwengo ni sawa tuHatari mkuu
Mbona hizo picha za wezere mnazificha?
Hivi Jamani mbona mnaleta mchezo na kinaitwa WEZERE!
Hebu cheki kinu hichi dah hii ndio ile "tunaita nyumba choo" hakiyananiMm mtu akishakuwa na choo hata kama sura ka kibwengo ni sawa tu
Yupo mzee baba anapatikana kwenye tamthiliya ya REBECCA na yeye ndio rebecca mwenyewe ,
Chaneli ya Maisha magic bongo -160 - on DSTV
Wapenzi wa bongo movie
mnasemaje kuhusu huyu WELLU SENGO
kuna watu wanaweza kutupa full historia yake?
Nimerudi mamii
now ihope finally mimi na wewe tutafuta namna ya kuondoa hii 'crush' iliyopo between us..
au nieendelee kuumia kimya kimyaa?
Ndo nimekuja sasa kubeba this time..i hope sijachelewa