Wema yupi??mtoto hatari sana huyu,yuko sexy,ana swaga za kutosha,anajua kucheze na camera ila kwa uzuri sio kivile,sema ana umbo matata sana na ni mrembo ki kweli kweli,apa wakina uwoya na wema wakae pembeni wamepata mbabe wao
Una mjua odama??WELLU SENGO ndo muigizaji mwenye mvuto zaidi bongo movie,,,,,
Hakuna anayemkaribia kwa lolote lile,,,,!!!!
Kazaa nae sio mke ,nijuavyo mimiStiv kumbe nae anakula vitu vizur namna hii?
Uzi wa 2013![emoji1][emoji1][emoji1] boss uzi wa 2019 nahis enzi hizo saa hii ana maunyamanyama tumbo sijui la bia au gongo gono kubwa limeninginia yaani ni kazezee[emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji848]enzi hizo steve alipiga hela za project ya mama ongea na mwanao akanunua hadi prado ndio alikua analichakata hili dude
[emoji23][emoji23]Ana sura nzuri sana, ila ndo kazaa na stivu[emoji58][emoji2364]
sio yeye,umechanganya pichaHuu mwili sijui ataurudishaje..
Maana loooh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi mwenyewe sijaelewaelewa lakini ndio hivyo maana Ukiona picha za bongo movie wote za zamani huwa zinashangaza
Uongo. Na steve nyerereKazaa na Jux
Alisoma kwa KP Lord Bauden Paul S.SUongo. Na steve nyerere
Ndo nini hata sijaelewa. Ni jina la shule ama?Alisoma kwa KP Lord Bauden Paul S.S
Tima je?Una mjua odama??
Shule aliyokuwa anamiliki Kanali Idd Kipingu,iko Mapinga hukoNdo nini hata sijaelewa. Ni jina la shule ama?
OkeeeShule aliyokuwa anamiliki Kanali Idd Kipingu,iko Mapinga huko
Wewe warumi si tuliambiwa umekufa wewe,eeh umefata nini tena huku dunianimtoto hatari sana huyu,yuko sexy,ana swaga za kutosha,anajua kucheze na camera ila kwa uzuri sio kivile,sema ana umbo matata sana na ni mrembo ki kweli kweli,apa wakina uwoya na wema wakae pembeni wamepata mbabe wao
Angalia comment yake,kacomment lini na ww umekuja kumqoute kwa kukurupukaWewe warumi si tuliambiwa umekufa wewe,eeh umefata nini tena huku duniani