Msanii wa Bongo Movies abeba mimba na kujifungua kimya kimya

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
STAA wa filamu za Kibongo, Aisha Bui amepata mtoto wa kike aliyejifungua kwa njia ya upasuaji lakini kumekuwa na usiri mkubwa katika jambo hilo.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Aisha alisema anamshukuru Mungu kwa kumjaalia mtoto wa kike aliyempa jina la Saloma.
“Nimefurahi sana, kumpata mtoto ni jambo la kumshukuru Mungu na sasa najisikia raha sana kuitwa mama,” alisema Aisha na kuongeza kuwa, mwanaume aliyezaa naye ni mchumba wake wa siku nyingi ambaye anaishi nje ya nchi na wanatarajia kufunga ndoa siku si nyingi.

 
Mmmmh,Uyu Dem si Ndo Yule Wa kipind kile aliyekua na Ugomv na Marehem Amina chifupa Kua Anatembea na Mumewe Marehem Mpakanjia,Alikua anaishia Kigambon cjui by zen?
 
Mhhhhhhhhhhhhhhhh huyu sio.............kweliiii
 
Mmmmh,Uyu Dem si Ndo Yule Wa kipind kile aliyekua na Ugomv na Marehem Amina chifupa Kua Anatembea na Mumewe Marehem Mpakanjia,Alikua anaishia Kigambon cjui by zen?


Hali kama hii tusipate tu UKIMWI kweli !
 

Attachments

  • aisha+bui_001.jpg
    6.3 KB · Views: 758
Halafu si nilisikia alikamatwa na Sembe Brazil?
 
Mmmmh,Uyu Dem si Ndo Yule Wa kipind kile aliyekua na Ugomv na Marehem Amina chifupa Kua Anatembea na Mumewe Marehem Mpakanjia,Alikua anaishia Kigambon cjui by zen?

Atakuwa ndo huyu huyu, Ila kipindi kile alikuwa kisuuu, sasa hivi kachuja.
Ngoja wambea waje watwambie ndoa iliishia wapi...manake nlisikia Marehemu Mpakanjia alimuoaga mke wa pili enzi zile na Amina Chifupa.
 
Hivi huyu demu anajua maana ya neno MCHUMBA????



? Iweje azae na mtu ambaye cyo mume wake????
Halafu baada kujifungua ndo anasema atafunga ndoa hivi hizo ni akili au maandazi,,,????
 
Mmmmh,Uyu Dem si Ndo Yule Wa kipind kile aliyekua na Ugomv na Marehem Amina chifupa Kua Anatembea na Mumewe Marehem Mpakanjia,Alikua anaishia Kigambon cjui by zen?

Daaaah yeah ndo huyu si nilisikia aliolewaga kama mke wa pili, na enzi zile eeh shigongo alimuandika sana huyu
 

mungu mkubwa kizazi hakikuharibika, kama sikuwanyonga ingekuwa ana wa3 sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…