Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
ney alishaimba "makahaba wa viwango wako bongo movie bongo movie kama danguro" hii pia niushahidi tosha kuwa ney alikuwa sawa
Money Stunna ulipotea wapi?
Atakuwa anatoa ndogo ndio sababu anataka watu waone.
apunguze nyuma akose soko?
Siku hizi bwana kila nyumba ukimkosa bongo movie utamkuta mbongo flava haya huyu nae kaigiza li muvi gani..........dah full gumashi