dunia tunapita
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 356
- 61
Bora Nissan Armada yangu kumbe kali lol kigari kama bata
siku hizi elimu yenyewe haisaidii kukuweka juu kimaisha.kinachosaidia ni unafanya nini?
watu wanalalamika hawana ajira, mshahara mdogo wakati kuna msanii show moja analipwa million 10.
Barnaba japo hajasoma lakin amewazidi wengi kimaendeleo ata wenye masters.
siyo kila mtu anatoka kimaisha kwa kusoma. cha muhimu aweke bidii kaz anayofanya pia ajifunze ujasiriamali. hizi elimu zetu hazisaidii zaidi ya kufundisha mtu ili akimaliza akazulule kutafuta kazi
Hongera sana little Brother. Usiwasikilize binadamu huwa hawakosi la kusema, usingekuwa na hilo gari wangesema oh Barnaba pamoja nakuimba kote hana kitu choka mbaya! Umepata hata hicho kidogo bado wanakandia. Damn humanity!